
Baada y akuachia video ya wimbo wake mpya "Chuna Buzi" kupitia mitandao
na kwenye televisheni mbali mbali, Shilole amefunguka kuhusu kuogopa
kufungiwa kwa video yake na kuamua kutengeneza video mbili tofauti
ambapo moja itakuwa ni kwa ajili ya Television na ingine kwa ajili ya
kwenye mtandao.
